Posts

Showing posts from September 18, 2015

Diva Wajibizana Vibaya Na Diamond Kwnye Kipind Cha XXL Clouds FM

Image
Diva Na Sauti Yake Ya Kujiamin Ikiambatana Na Nyodo Ajibizan Na Diamond On Air Kisa Mambo Ya Instagram , inasemekana diva Anamongelea vibaya daimond Instagram, Daimond  amemwambia diva kuwa kama ningekuwa nimekukaza usingekuwa unaniongelea......majibizano yaliendelea nusu wapigane BDAZIN akazima maic...

Mke wa LOWASSA Aondolewa Mkutanoni Simiyu na Kupitishwa Mlango wa Nyuma Kisa Hichi Hapa

Image
Mke wa Lowassa Mama Regina Lowassa MGOGORO wa vyama viwili vya siasa CUF na CHADEMA ambavyo vinaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, juzi ulichukua sura mpya. Hali hiyo inatokana na  mgombea mmoja wa ubunge wa jimbo hilo kupitia CUF, Martine Makondo na wafuasi wake, kuvamia uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa CHADEMA, Martine Magire ambapo mgeni alikuwa Mama Regina Lowassa (mke wa Edward Lowassa). Mama Lowassa alishindwa kuzindua kampeni hizo kutokana na vurugu kubwa zilizotokea. Awali mkutano ulikuwa ufanyike kwenye Uwanja wa Michezo uliopo katika Sekondari ya Lagangabilili. Dalili za vurugu zilianza kuonekana mapema baada ya wafuasi wa CHADEMA kudai kuwa, mgombea wa CUF alikuwa amekwenda kwenye mkutano huo na kundi la vijana ili kuvuruga mkutano. Baada ya Mama Lowassa kuwasili eneo la mkutano akiwa na Naibu Katibu Mkuu Baraza la Wanawake wa CHADEMA Taifa (BAWACHA),Kunti Yusuph, mgombea wa CUF aliwasili ene...

KAULI ALIYOITOA WOLPER MBELE YA LOWASSA YAIBUA HISIA KWA MASHABIKI WAKE,ASEMA KWA SASA ANAITWA JACKY LOWASSA

Image
Katika Mkutano wa Lowassa leo na Wanawake wa Chadema , Mwigizaji Jack Wolper Alipewa Nafasi ya Kuongea Kuwawakilisha wasanii na Kusisitiza kuwa kwa sasa jina lake ni Jack Lowassa Kama Alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram siku kadhaa zilizopita... Jack Lowassa akisistiza jambo pembeni ni Aunt Ezekiel na katikati ni Shamsa Ford Msanii wa Filamu Bongo Movies Jack Wolper akisalimiana na Lowassa mara baada ya kumpatia keki,ambapo jana mh.Lowassa alikuwa anatimiza miaka kadhaa toka azaliw

Uwoya Awashangaa Wasanii Wasioisapoti CCM

Image
Mrembo wa filamu za kibongo nchini ambaye ameshapitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa viti maalumu, Irene Uwoya anawashangaa wasanii wenzake ambao hawakiungi mkono chama hicho wakati baadhi yao walikuwa karibu sana na Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake. Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Uwoya amewachana wasanii ambao wamekuwa wakisema hawaoni sababu ya kumuunga mkono wakati yeye hakuwahi kuwathamini hata siku moja. “ Sasa narudi kwa wasaniii wasio jitambua! katika tasnia yetu, ukweli usiopingika Kikwete amekuwa karibu sana na wasanii na ametufanya tuthaminike. “Lakini chaajabu kunawatu wanajifanya hawajui mchango wake, kiukweli inaumiza sana! "Kuna watu walikuwa wanashinda Ikulu , anawasaidia sana katika kazi zao lakini leo wamesahau yote na kumsapoti mtu ambaye hajawahi hata kuwatambua kwanafasi zao, kama sio ushabiki maandaz niniii? Loooo!!! aibu ”.Uwoya ameandika.