KAULI ALIYOITOA WOLPER MBELE YA LOWASSA YAIBUA HISIA KWA MASHABIKI WAKE,ASEMA KWA SASA ANAITWA JACKY LOWASSA
Katika
Mkutano wa Lowassa leo na Wanawake wa Chadema , Mwigizaji Jack Wolper
Alipewa Nafasi ya Kuongea Kuwawakilisha wasanii na Kusisitiza kuwa kwa
sasa jina lake ni Jack Lowassa Kama Alivyoandika kwenye ukurasa wake wa
Instagram siku kadhaa zilizopita...

Jack Lowassa akisistiza jambo pembeni ni Aunt Ezekiel na katikati ni Shamsa Ford

Msanii wa Filamu Bongo Movies Jack Wolper akisalimiana na Lowassa mara baada ya kumpatia keki,ambapo jana mh.Lowassa alikuwa anatimiza miaka kadhaa toka azaliw
Comments
Post a Comment