Mshahara wa Mbunge ni Milioni 3.8 Kwa Mwezi, Posho ya Ubunge ni..



Kwa mujibu wa Mh Zitto Kabwe:

"Mshahara wa mbunge ni milioni 3.8 kwa mwezi, Posho ya Ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, Posho ya

kujikimu kwa siku ni laki 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni shilingi laki 200,000

Kwa siku, pia bado bado kuna fedha kwaajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii

hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo".

Nini maoni yako hapo?

Chanzo: East Africa Television (EATV)

Comments

Popular posts from this blog

Ang'atwa na Nyoka Akizini na Mke wa Mtu Kichakani

Kubenea Aibua Ufisadi wa Billion 1.2 Kupitia Ufuaji wa Majoho ya Madiwani

Tundu Lissu Ajibu Mapigo.......Asema Mwenye Richmond ni Rais Kikwete Mwenyewe