Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Awasweka Rumande Maofisa Ardhi 10 Kwa Masaa 6
Hatutaki uzembe awamu ya tano
![]() |
| Paul Makonda |
Makonda jana alikuwa amewataka Maofisa hao kufika eneo la Nakasangwe Kata ya Wazo leo asubuhi kutoa ufafanuzi wa mgogoro wa ardhi lakini wao wakafika saa 5.

Comments
Post a Comment