Kidoa Wa "Akadumba" Akomaa na Madairekta Wapenda Ngono

AshaSalumKidoa
VIDEO Queen wa Ngoma ya Akadumba, Asha Salum ‘Kidoa’ amewakomalia madairekta wa filamu Bongo wanaopenda ngono kisha watoe kazi kuwa hatakubaliananao kirahisi na kwamba kwake ni kazi tu.
Akipiga stori mbili-tatu na kona ya Bongo Movies, Kidoa ambaye kwa sasa ameingia katika filamu rasmi amesema kuwa, madairekta wengi Bongo wanaendekeza sana ngono ndiyo wampe mtu nafasi katika kucheza filamu jambo ambalo hatakubali limtokee.
“Nimekutana na madairekta wengi wanaoendekeza ngono kwenye kazi. Sasa nimeshaingia kwenye filamu hivyo madairekta uchwara wataisoma namba maana hapa kwangu ni kazi tu na si vinginevyo,” alisema Kidoa.

Comments

Popular posts from this blog

Ang'atwa na Nyoka Akizini na Mke wa Mtu Kichakani

Kubenea Aibua Ufisadi wa Billion 1.2 Kupitia Ufuaji wa Majoho ya Madiwani

Tundu Lissu Ajibu Mapigo.......Asema Mwenye Richmond ni Rais Kikwete Mwenyewe