HATIMAYE SHEKHE PONDA AACHIWA HURU

mahakama ya hakim mkadhi ya morogoro imeamua kumuachia huru sheikh ponda baada ya mshtaki kushindwa kuleta ushahidi wa kina kuwa shehe ponda alitamka maneno ya kejeli na machafu kwa dini zingine zisizokuwa za kiislamu.

Comments

Popular posts from this blog

Ang'atwa na Nyoka Akizini na Mke wa Mtu Kichakani

Kubenea Aibua Ufisadi wa Billion 1.2 Kupitia Ufuaji wa Majoho ya Madiwani

Tundu Lissu Ajibu Mapigo.......Asema Mwenye Richmond ni Rais Kikwete Mwenyewe