diamond aongoza list ya wasani 15 bora afrika kutoka gazeti la africani muzik magazine

Ni the platnum tena kwenye headlines...jarida la AFRICAN MUZIK MAGAZINE limemtaja DIAMOND kuwa msanii bora zaidi ndani ya bara la africa mwaka 2015.
kutoka Tanzania mdada VANESA MDEE ameshika nafasi ya kumi na mbili
wakati DAVIDO amekuwa wa nne nyuma ya WIZKID na OLAMIDE.       

Comments

Popular posts from this blog

Ang'atwa na Nyoka Akizini na Mke wa Mtu Kichakani

Kubenea Aibua Ufisadi wa Billion 1.2 Kupitia Ufuaji wa Majoho ya Madiwani

Tundu Lissu Ajibu Mapigo.......Asema Mwenye Richmond ni Rais Kikwete Mwenyewe